Mwimbaji na msanii mkongwe wa maigizo Tanzania Dokii ameamua kurudi kwenye uigizaji kwa namna ya pekee baada ya kugeukia vichekesho ambapo mara hii ameungana na Timamu na mchekeshaji Mpoki.
Dokii
amekiri kuwa kimya kwa muda mrefu akifanya biashara tofauti ya muziki
na uigizaji lakini sasa ameamua kurejea akigeukia vichekesho.
DOKII AFUNGUKA KUHUSUKURUDI KUIGIZA NA KUGEUKIA VICHEKESHO
Reviewed by Habari na Michezo
on
June 19, 2017
Rating: 5
No comments: