AVEVA,KABURU WASWEKA RUMANDE
Rais wa klabu ya Simba, Evans Aveva na Makamu wake, Bw. Geofrey Nyange ‘Kaburu’ wametuhumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutuya kisutu kwa makosa matano .

Kaburu na Aveva kutokana na makosa yao kukosa dhamana wamerudishwa rumande mpaka julai 13 ambapo kesi hiyo itakaposikilizwa tena.
No comments: